SectionsEntranceKuteswa Kwake Bwana

Kuteswa Kwake Bwana

Ordinary Time,Easter,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,LentEntrance
Chorus

Kuteswa kwake Bwana kulinipa wokovu

Siachi kumuimbia pote niendapo *2

Verse 2

Aliyeniokoa ni Yesu aliyevumilia matesonaliyemwaga damu mtini ndiye Bwana wangu *2

Verse 3

Na kwa kunipenda mimi, aliuawa akafa

Ni pendo la ajabu kunifilia *2

Verse 4

Rohoni nimeoshwa na damu ya thamani

Makosa yameoshwa naye Mwokozi *2