Verse 1
Kumbuka, ee Bikira Maria mpole sana
Haijasikika bado hata mara moja
Kwamba ulimwacha mtu, aliyekimbilia ulinzi wako
Aliyeomba msaada na maombezi yako-on{kumbuka*3 Eeh Bikira Maria aah }*2
Verse 2
Kwa matumaini hayo, tunakimbilia wewe eh Mama
Bikira wa mabikira, kwa matumaini hayo
Tunasimama mbele yako, tukilalamika si wakosefuneeh Bikira twaja kwakon{kumbuka*3 eeh Bikira Maria aah }*2
Verse 3
Eeh Mama wa neno la Mungu, usiyakatae maneno yetu
Bali upende kuyasikia, Na kuyasikilizan{Kumbuka*3 Eeh Bikira Maria aah }*2