Chorus
{ Kristu yeye yule leo na milele,
Huyu Yesu Yeye ndiye Alfa na Omega, Kristu }*2n{ Ni mwanzo wa (nyakati), ni mwisho wa (nyakati)
Jana leo (na kesho), Alfa pia (Omega)
Tawala tawala tawala Kristu, tawala mioyo yetu } *2
Verse 2
Wewe ndiwe kitulizo cha maisha yetu, Kristu
Wewe ndiwe mkate wetu wa kila siku, Kristu
Verse 3
Ukombozi umetupa kwa kunyenyekea, Kristu
Tutakupa nini kama fidia ya kweli Kristu, Kristu
Verse 4
Ugumu wa ulimwengu wanipa vikwazo, Kristu
Natamani kufanana na rafiki zangu, Kristu
Verse 5
Nijalie maisha mema yenye baraka, Kristu
Nipate ninayopenda kwa mapenzi yako, Kristu
Verse 6
Nijalie moyo wa kutopenda tamaa, Kristu
Nitosheke na yote utayonipa mimi, Kristu