SectionsExitKristu Pasaka Wetu

Kristu Pasaka Wetu

Ordinary Time,EasterExit
Verse 1

Kristu Paska yetu, amechinjwa sadaka;ntuile karamuye, na twimbe Aleluya

Verse 2

Aliyejitoa, sadaka ya Paska,nwakristu wamtolee, sadaka ya Sifa.

Verse 3

Mwanakondoo aliwakomboa kondoo, Kristu asiye na dhambinamewapatanisha na Baba, watu wenye dhambi.

Verse 4

Mauti na uzima, vimeshindana ajabu;

Mkuu wa uzima aliyekufa, atawala mzima.

Verse 5

Utuambie Maria, uliona nini njiani?

Niliona kaburi la Kristu Mzima,nna Utukufu wa aliyefufuka.

Verse 6

Mashahidi ni Malaika,

Leso ya uso na mavazi

Kristu tumaini langu kafufuka,nawatangulia Galilaya.

Verse 7

Twajua Kristu amefufuka, kweli katika wafu

Ewe Mfalme mshindaji, Utuhurumie.

Verse 8

Amina Aleluya, Amina Aleluya *2