SectionsExitKristu Mfalme

Kristu Mfalme

Ordinary TimeExit
Verse 1

Ulimwengu unakiri mbingu zinahubiri

Kwamba yeye ni mwanzo na kwambanhuyo huyo ni mwisho

Kwa kuwa huyo ni Alfa na bado ni Omega

Kwamba yeye ni mwanzo na kwambanhuyo huyo ni mwisho

Chorus

Huyu mtukufu, ndiye Kristu mfalme *2

Mtawala wa upendo, yeye Kristu

Ajitoaye sadaka, yeye Kristu

Huyu mtukufu, ndiye Kristu mfalme

Verse 3

Anatawala dunia anamiliki mbingu . . .

Aliyekuwapo mwanzo, aliyepo na ajaye . . .

Verse 4

Anayesujudiwa na watawala wa nchi . . .

Anayewadhamini hata wamkataao . . .

Verse 5

Tuliyemjengea nyumba ya kumtukuza . . .

Akavutiwa nayo- na ameibariki . . .

Verse 6

Tuingie kwa shangwe twende kumshangilia.. .

Turukeruke nyumba tufurahi na malaika. .