Chorus
{ Kristu amekuwa mtii kwa ajili yetu, mpaka kufa,
Hata kufa msalabani, hata kufa msalabani } *2
Verse 2
Kristu alijinyenyekeza, akawa mtii hata mauti
Naam mauti ya msalaba
Verse 3
Kwa hiyo Mungu alimuadhimisha mno,
Akamkirimia jina lile lipitalo kila jina
Verse 4
Ninyi mnaomcha Bwana msifuni
Enyi wote mlio uzao wa Yakobo mtukuzeni