SectionsEntranceKristu Aliyejinyenyekeza

Kristu Aliyejinyenyekeza

Wedding,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,LentEntrance
Chorus

Kristu alijinyenyekeza,

Kristu alijinyenyekezan{ Akawa mtii hata mauti,nnaam mauti ya msalaba } *2

Verse 2

Kwa hiyo Mungu alimuadhimisha mno

Akamkirimia jina lile lipitalo kila jina

Verse 3

Ninyi mnaomcha Bwana, msifuni

Enyi nyote mlio uzao wa Yakobo mtukuzeni

Verse 4

Wote wanionao hunicheka sana

Hunifyonza wakitikisa vichwa vyao