Chorus
Nikifananishe kizazi hiki na kitu gani?
Nashindwa kusema kwa lugha nzuri iliyo fasaha } *2n{ (tazama) kizazi hiki kisicho na upendo,nkizazi kisicho na huruma,nchenye moyo wa jiwe (hakika)nhiki ni kizazi cha nyoka } *2
Verse 2
Kizazi kilichojaa chuki na kisasi,nufisadi na moyo wa hila
Verse 3
Kizazi kinachotukuza ushirikina,ntamaa na anasa za dunia
Verse 4
Ndimi zao zanena upotovu na unafiki,nna kuliasi JIna la Bwana
Verse 5
Mzabibu uliopanda na kuunyeshea mvua,ntazama umekuwa mzabibu mwitu