Chorus
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpya
Kisha nikaona mbingu mpya na nchi mpyan{ Nikauona mji (mji ule), ule mtakatifu
Jerusalem mpya ukishuka toka mbinguni } *2
Verse 2
Kwa maana mbingu ya kwanza na nchi ya kwanza,
Zimekwisha kupita, wala hapana bahari tena
Verse 3
Nikasikia sauti kubwa ikitoka,
Kwenye kiti cha enzi, tazama maskani yake Mungu
Verse 4
Naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao,
Naye atayafuta, machozi katika macho yao
Verse 5
Mauti maombolezo kilio maumivu,
Hayatakuwapo, tazama yote yamekuwa mapya