SectionsEntranceKipeperushe Kitamba Chako

Kipeperushe Kitamba Chako

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Christmas,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,BaptismEntrance
Verse 1

[ t ] Jiangalie jinsi unavyoenenda,nujiulize kama hivyo ni sawa

Ndugu rejea ahadi yako kumkataa Ibilisi muovun[ t ] Dhamira yako inakuambia nini,ninakusuta au bado ni huru, sasa

Ndugu rejea ahadi yako kumfuata Bwana Yesu milele

Chorus

Ewe Mwenzangu - kipeperushe kitambaa chako

Cha ubatizo - cheupe kinachomeremeta

Kisichafuke - kipeperushe kitambaa chako

Cha ubatizo - cheupe kinachomeremeta

Kiweke safi - kipeperushe kitambaa chako

Cha ubatizo - cheupe kinachomeremeta

Verse 3

Uliye naye kweli ni mzuri sana,npia kumbuka yuko wako wa ndoa -

Uliyeapa ni wewe sio mwingine,nkushikamana naye yule mmoja, basi -

Verse 4

Maendeleo kweli ni muhimu sana,nlakini na wenzako wanahitaji -

Hicho kipato ndicho ulichopimiwa,nau mwenzetu unachota zaidi, leo -

Verse 5

Unatamani kuwa mwenye madaraka,numejiandaaje kuyatumia -

Je ni halali watu tukakutukuza,nwakati yupo yule alokuumba, haya -

Verse 6

Kumbuka Yesu alipigwa mijeredi,nkwa sababu ya haya unayotenda -

Akatundikwa mtini akiwa tupu,nkadhalilishwa mwisho akauawa, hivyo -

Verse 7

Kumbuka kuwa siku ile inakuja,nmatendo yako yote kuhesabiwa -

Ni heri leo ukitunze kitambaa,nsiku ya mwisho kiwa bado cheupe, kweli -