SectionsEucharistKimya Ni Cha Nini

Kimya Ni Cha Nini

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Christmas,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Christmas,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Kimya kimya ni cha nini Bwana Yesu ametualika

Kushiriki karamu yake, karamu ya mapendo

Siku ile iliyotangulia kifo chaken(Aliwaita wanafunzi wake) *2 akawaambia

Verse 2

Huu ndio mwili wangu utakaotolewa kwa ajili yenu

Kuleni huu ili mpate uzima wa milele,n(Haya basi amkeni (‘mke-ni) ‘mkeni basi amkeninkushiriki uzima mtukufu kwa karamu ya Bwana }*2

Verse 3

Hii ndiyo damu yangu itakayotolewa kwa ajili yenu

Kunyweni hii ili mpate uzima wa milelen(Haya basi amkeni (‘mke-ni) ‘mkeni basi amkeninkushiriki uzima mtukufu kwa karamu ya Bwana }*2

Verse 4

Amini ninawaambieni alaye mwili na kunywa damu

Bila kustahili atahukumiwa siku ya mwisho,

Lakini alaye mwili na kunywa damu kwa kustahili

Nitamfufua siku ya mwishon(Haya basi amkeni (‘mke-ni) ‘mkeni basi amkeninkushiriki uzima mtukufu kwa karamu ya Bwana }*2