SectionsOffertoryKimya Hiki Kinanishangaza

Kimya Hiki Kinanishangaza

Wedding,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary TimeOffertory
Chorus

Kimya hiki kinanishangaza sana, najiuliza

Kimya hiki kinanishangaza sana, najiuliza

Ni kiumbe gani asiye na shukrani humu ulimwenguni *2n{ Ki-mya kimya, ki-mya kimya,nki-imya kimya, mimi nashangaa } *2

Verse 2

[ s ] Nami natoa sadaka yangu kwa Bwana,

Naye atapokea, jamani.

Verse 3

[ a ] Japo ni kidogo Bwana ukipokee, mimi naleta

Verse 4

[ t/b ] Kimya ni cha nini, tuamke wote,

Tupeleke zawadi zetu, kwake Bwana