Verse 1
Kimulimuli chamulika pande zote za dunia
Ngurumo zake zasikika, zasikika kotenona matetemeko ya ardhi, hata na vitanpia na njaa nayo magonjwa yasipona
Tuyakumbuke yale yaliyotabiriwa na manabiinya kuwa siku za mwisho yatatokea haya
Tujiweke tayari atakapokuja Bwana wa mavuno
Mbingu na nchi zitapita
Neno la Mungu litadumu
Tujiweke tayari atakapokuja Bwana wa mavuno
Tujiweke tayarin{Tujitakase, tujitakase, tujiweke tayari
Tujitahidi, tubadili mwenendo wa maisha
Kwa kuwa hatujui siku wala saa }* 2
Verse 2
Tumuombe sana Mungu arudishe huruma yake
Tuweze kushinda haya yote