SectionsEntranceKila Penye Ngoma

Kila Penye Ngoma

Wedding,WeddingEntrance
Chorus

{ Kila penye ngoma, hapakosi chereko (chereko)

Na kila penye chereko chereko

Zawadi zawadi hazikosi } *2

Chorus

{ Twendeni sasa kwa Bwana mfufuka

Aliyeyashinda mauti mzima kweli

Zawadi zawadi tukatoe } *2n{ Haya twende twende twende

Zawadi tumwage tumwage

Kwa Bwana aliyefufuka, fufu-ka } *2

Verse 3

Watu hutoa zawadi nzuri tena za kutamanisha

Siku siku ya harusi, siku ya ngoma

Je mimi nitatoa nini hata kikupendeze

Siku siku ya kufuka, siku ya leo

Verse 4

Bwana simama kwa chereko, nyimbo ngoma na vigelegele

Siku siku ya kufuka, siku ya leo

Nawe jirani twende tukatoe hata kidogo usisite

Siku siku ya kufuka, siku ya leo