Chorus
Aleluya, aleluya, aleluya, aleluya *2
Kila mwenye pumzi, na amsifu Bwana *2
Verse 2
Msifuni Mungu katika patakatifu pake,
Msifuni katika anga la uweza wake *2
Verse 3
Msifuni Mungu kwa matendo yake makuu
Msifuni kadiri ya wingi wa ukuu wake *2
Verse 4
Msifuni Mungu kwa mvumo wa baragumu
Msifuni sifuni kwa kinanda na kinubi *2
Verse 5
Msifuni Mungu kwa matari na kucheza
Msifuni sifuni kwa zeze na filimbi *2
Verse 6
Msifuni Mungu kwa matoazi yaliayo
Msifuni sifuni kwa matoazi yavumayo *2