SectionsExitKila Kilicho Juu

Kila Kilicho Juu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Kila kilicho juu ya nchi,nni mali yake Bwana, mwumba mbingu

Kila kilicho juu ya nchi,nni mali yake Bwana, mwumba mbingu

Verse 2

Mashamba ya Mungu, (yote) yote ya Mungu * 2

Mazao ya Mungu, (yote) yote ya Mungu * 2

Verse 3

Mifugo ya Mungu, (yote) yote ya Mungu * 2

Bahari ya Mungu, (yote) yote ya Mungu * 2

Verse 4

Na nyumba za Mungu, (zote) zote za Mungu * 2

Na fedha za Mungu, (zote) zote za Mungu * 2

Verse 5

Milima ya Mungu, (yote) yote ya Mungu * 2

Wanyama wa Mungu, (wote) wote wa Mungu * 2