SectionsEucharistKikondoo Cha Mungu

Kikondoo Cha Mungu

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Christmas,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Kikondoo cha Mungu, mkate wa Mbinguni

Mlishi wa roho zetu, nakuabudu }*2

Verse 2

U Babangu mwema, na msimamizi

Mpaji wa uzima, wangu mwokozi

Verse 3

Fumbo abudiwa, nakuamini

Kaza Yesu mpendwa, yangu imani

Verse 4

Mlo wa roho yangu, hostia nzima

Niwie ya mbingu, kweli amana

Verse 5

Ee Rabbi mtu Mungu, unirizishe

Njoo shuka kwangu, kanishibishe

Verse 6

Anakaribia, mpenzi amini

Ataka ingia mwangu moyoni