Kifua Mbele
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Advent,Ordinary Time,Ordinary TimeThanksgiving
Chorus
Natembea kifua kikiwa mbele mimi
Natembea kifua kikiwa mbele mimi
Sina hofu kamwe moyoni mwangu
Kwa kuwa nina Yesu moyoni mwangu mimin{Niacheni niimbe, niacheni nicheze
Niacheni niruke, nimsifu Mungu wangu } *2
Verse 2
Ni yeye Mungu wangu, mimi nitamsifu
Na ndiye Muumba wangu, mimi nitamwimbia
Nitamsifu Mungu wangu kila niamkapo
Nitamwimbia nyimbo tamu tena za kupendezaniyelelele iyele
Verse 3
Yeye ndiye mlinzi wangu, mlinzi mwaminifu *2
Yeye ni Alfa tena yeye ndiye Omega * 2niyelelele iyele
Verse 4
Nitamshukuru Bwana kwa moyo wangu
Nitayasimulia matendo yake yote
Nitafurahi na kushangilia wewe Bwana
Nitaliimba jina lako wewe uliye juu