Verse 1
[ t ] Kiapo cha uba-tizo wangu,nkutoa si mimi ni wao
Ni mzima nayo akili yangu,nninaapa mwenyewe leo
Chorus
{ Ninaapa, ninaapa,nninaapa mwenyewe leo,
Ninaapa mwenyewe leo } *2
Verse 3
Naapa Yesu ndiye Mwokozi,nsadaka mlipa le-tu deni
Mwenyewe Mwana wa Mwenye-zi,nnaapa ni yangu imani
Verse 4
Naapa kwa Mungu na kanisa,nni mtoto tangu ubatizo
Ya jana nayatubu makosa,nnaapa ni mtu mpya si mchezo