Verse 1
Kesheni pia ombeni, Mwokozi Yesu yuaja
Vaeni mjifunge tayari tumlakin(Yesu) yuaja mawinguni, Wakristu tumlaki
Kesheni . . .
Verse 2
Upanga wako na uwe Neno la Bwana Yesu
Na ngao na iwe na Mwana wa Mungun(Yesu) daima ukiwa naye hushindwi na maovu
Upanga . . .
Verse 3
Niumbie Roho mwema Bwana wangu
Nishikie mkono ewe Masiha niwe wako milelen(Yesu) nikuandame Masihi nisikuache kamwe
Niumbie . . .