Chorus
(Kesheni kila wakati, (ndugu)nkila wakati mpate kuokoka)
Verse 2
Kwa maana hamjui siku,natakapokuja Bwana wenu.
Verse 3
Jiwekeni tayari, maana saanmsiyodhani ndipo ajapo Bwana.
Verse 4
Heri yake mtumishi, ambaye Bwananwake atamkuta akikesha.
Verse 5
Hakika atamweka, aitunze mali yake yote.
Verse 6
Muwe macho, mioyo yenu osijenikalemewa na shughuli za maisha haya.
Verse 7
Muwe waangalifu, na salini daima.