Kazi Ibarikiwe
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimePresentation of Gifts
Chorus
{Sadaka yetu tunayokutolea, Juhudi zetu tunaziombea,nupokee (pokea) upokee (pokea) upkee sadaka ya wanao } *2
Verse 2
Ya mkate na divai, mazao tuliyolima sisi
Verse 3
Ya fedha na ya mali, kwa kuwa tumevipata kwako
Verse 4
Ya muda na karamu, maana yote ni mali yako
Verse 5
Kusudi ikupambe, popote wakutukuze wewe