Verse 1
Katika mji mwema mbinguni kwa Mungu
Ndiko ahadi zetu ziendako *2
Chorus
Mji wangu wa huko mbinguni juu,
Nikiuona ninautamani.
Furaha ya dhambi yanitia giza,
Nitauona lini mji mwema *2
Verse 3
Ninatamani sana kwenda mji huo *2
Ambako nitaishi bila shida *2
Verse 4
Mwokozi wetu Yesu naye asikia *2
Yale maombi yetu tuombayo *2
Verse 5
Usikose kuomba Yesu, asikia *2
Naye atatufikisha, Mbinguni *2