Verse 1
Katika mji mwema mbinguni kwa Mungu *2
Ndiko ahadi za Mungu ziendako *2
Chorus
Mji wangu wa huko Mbinguni juu
Nikuona ninautamani
Furaha ya dhambi yanitia giza
Nitaona lini mji mwema *2
Verse 3
Ninatamani sana kwenda mji huo *2
Ambako nitaishi bila shida *2
Verse 4
Mwokozi wetu Yesu, naye asikia *2
Naye atatufikisha mbinguni *2