SectionsEucharistKaramu Ya Mwisho

Karamu Ya Mwisho

Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Verse 1

Karamu ya mwisho ya Bwana Yesu

Aliketi na wanafunzi wake kwa huzuni

Chorus

Yesu aliwaambia Mmoja wenu atanisaliti *2

Alitoa mkate akaumega

Kuleni kuleni huu ndio mwili wangu

Alitoa kikombe akashukuru

Kunyweni hii ndiyo damu yangu

Verse 3

Gethisemani Yesu alianguka kifudifudi kisha akaomba

Akasema Bwana kikombe hiki kwa mapenzi yako kiniepuke

Verse 4

Golgotha Yesu alianguka kifudifudi na kisha akaomba

Mkombozi Yesu alitolewa mwanadamu apate kuokoka