Chorus
[t|b] Karamu karamu karamu (njoni)
Karamu imeandaliwa, Waitwa wanyofu wa moyo,nkaribuni nyote njooni, Njooni wote tuitikiennaam naam tukampokee Yesu Kristu *2
Verse 2
Ndugu yangu jirani njooni kwa Bwana Mungu
Kama una dhambi nenda ukaziungame
Karamu yake njoo njoo njoo
Verse 3
Jiulize una kizuizi gani wewe cha kukunyima
Wewe kwenda kwa Bwana Mungu ushiriki
Karamu yake njoo njoo njoo
Verse 4
[t|b] upendo wa Bwana Mungu katualika tumpokee