Chorus
Kanisa yetu kweli nyumba ya Mungu x2
Yesu yumo na atoa neeman
Verse 2
Nyumba hii nyumba ya sala, nsiyo pango lao wevi, nadabu njema tushiken
Verse 3
Msingi wa nyumba ndiye Petro, nshaka hatuna tu imara, njengo la Mungu kanisa.n
Verse 4
Kwa ubatizo humu twazawa,n kwa kitubio tunaponywa,n kwa Ekaristi twalishwa.n
Verse 5
Mwana wa Mungu yu kanisani, nshida na shaka zako toa,
Yu kitulizo kwa wote.n
Verse 6
Wa duniani na wa mbinguni, nna marehemu tu wamoja, nmwili wa Fumbo Kanisa.n