Chorus
Kanisa la kitume (kanisa la kitume)
Kwa sababu Roho Mtakatifu aliwashukian{ Wale wote waliokuwapo , wale wote waliokuweponwakati wa pentekoste wakati wa pentekoste } *2
Verse 2
Asili ya kanisa letu limetoka kwa mitume
Na limeendelea kukua tangu wakati huo
Verse 3
Huu muungano na mitume unadokeza kwa kanisa
Kuwa mwaminifu kwa mafundisho
Yaliyofunuliwa na Yesu na mitume kwetu sisi
Verse 4
Roho Mtakatifu ni mjumbe wa mitume na kanisa
Atakuwa kati yao kila wakati
Ni mwalimu wa habari njema aliyoihubiri Yesu