SectionsExitKanisa La Bwana

Kanisa La Bwana

Lent,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Lent,Easter,Christmas,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Kanisa la Bwana litasimama

Kanisa la Bwana litasimama

Waktwaati wote wa majaribu

Wakati wote wa hukumu

Verse 2

Kwa kuwa limejengwa kwa mwamba imara

Limejengwa kwa mwamba imara, imara

Hata mawimbi mabaya yakivuma

Kanisa la Bwana litasimama

Verse 3

Ndani ya mwamba huo nitajificha

Wakati adui anaponivamia

Nitajificha penye utakatifu

Ndani ya nyumba ya Mungu wa milele

Verse 4

Kwa kuwa limelindwa na roho wa Mungu,

Limelindwa na roho wa Mungu, wa Mungu

Hata shetani aje akinguruma

Kanisa la Bwana litasimama

Hata shetani aje kwa vishindo

Kanisa la Bwana litasimama

Hata shetani aje kwa ujanja

Kanisa la Bwana litasimama,

Daima na milelen