Kama Sio Wewe

Ordinary Time,MarianThanksgiving
Verse 1

Kama sio wewe Yesu ningekua wapi mimi x2numejawa na neema na rehema tele x2

Verse 2

Kama sio kifo chako ningekua wapi mimi x2numejawa na neema na rehema tele x2

Verse 3

Kama sio damu yako ningekua wapi mimi x2numejawa na neema na rehema tele x2

Verse 4

Zamani mimi Bwana sikua hata na jina x2nnilipo ita jina lako sasa jina ninalo x2

Verse 5

Zamani mimi Bwana sikua hata na afya x2nnilipoita jina lako sasa afya ninayo x2

Verse 6

Zamani mimi Bwana sikua hata na huduma x2nnilipoita jina lako sasa huduma ninayo x2