Kama Ayala

Ordinary TimeEucharist
Chorus

Kama ayala aioneavyo kiu mito ya maji ndivyo ninavyokuonea kiu Mungu wangu x2

Verse 2

Ninatamani kushibishwa kwa mwili wako Bwana wangu, Ninatamani kuburudishwa kwa damu yako Mungu wangun

Umeniumba kwa ajili yako ndiyo maana sishibishwi, Utanituliza nafsi yangu Mungu wangu uliye hain

Karibu Bwana moyoni mwangu niishi kiekaristia ili nipate raha ya kweli nikupendeze siku zote