Chorus
Kama vile Baba alivyonipenda mimi
Nami nilivyo wapenda ninyi
Kaeni katika pendo langu
Kaeni - katika pendo (langu) * 2
Kaeni katika pendo langu
Verse 2
Mkizishika amri zangu, mtakaa katika pendo langu
Kama vile mimi nilivyozishika, amri za Baba yangu
Na kukaa katika pendo lake
Verse 3
Hayo nimewaambia, ili furaha yangu iwe ndani yenu
Na furaha yenu itimizwe
Verse 4
Amri yangu ndiyo hii, mpendane kama nilivyowapenda
Kama nilivyowapenda ninyi
Verse 5
Hamna aliye na upendo, upendo mwingi kuliko huu
Wa mtu kutoa uhai wake, kwa ajili ya rafiki zake