Verse 1
Wanafunzi wawili wa Ye-su (wa Yesu)nwalipokaribia Ema-u (Emau)
Yesu alifanya kama ana-taka kuende-lea mbele
Wakamshawishi wakamshawishi wakisema
Chorus
Kaa pamoja nasi Bwana, Kaa pamoja nasi Bwana
Kaa pamoja nasi Bwana, kwa kuwa kumekutwa na mchana umekwisha
Verse 3
Akaingia ndani, akaingia ndani
Na kukaa nao, na kukaa nao
Akaingia ndani, akaingia ndani
Na kukaa nao, na kukaa nao
Verse 4
Nasi twende na Yesu aliyefufuka
Maishani mwote tuishi naye Yesu (wakristu)
Nasi twende na Yesu aliyefufuka
Maishani mwote tuishi naye Yesu Mwo-ko-zi