SectionsEntranceJua Likichomoza

Jua Likichomoza

Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Jua likichomoza mji wote huu na! ta! za! ma

Naona msafara, msafara,

Pilika pilika nyingi kila mtu ataka ku! pa! ta! riziki

Inachanganya, inachanganya,

Magari na watu katika mji mziman

Najiulizauliza Mbinguni tutakuwa wangapi

Kama hapa tuko hivi dunia yote tutakuwa wangapi?n([a] Swali gumu sana)

Lo kweli Mungu wetu yeye ni mwenye uwezon{(Na tena) Gari lako liwe sala,

Njia yako iwe Yesu, nyumbani kuwe mbinguni

Kwenye makao yake Mwenyezi Mungu,

Sheria kanuni zake Mungu hutumikankwa wanaompenda }*2

Verse 2

Yeye ni mwenye uwezo -nukitubu utamwona Mungu

Tajiri au masikini - ukitubu utamwona Mungu

Verse 3

Yeye hana msafara -

Hata hana askari -

Verse 4

Mwizi acha kuiba -

Mwenye fitina uache -