Chorus
{ Jongeeni tuingie nyumbani mwa Baba *2
Twende twende twendeni, nyumbani kwa Baba } *2
Verse 2
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa furaha, nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa heshima nyumbani mwa Baba
Verse 3
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa furaha, nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba
Twende kwa heshima nyumbani mwa Baba
Verse 4
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba,
Twende kumshukuru nyumbani mwa Baba
Twendeni sote, nyumbani mwa Baba,
Twende kumsujudu nyumbani mwa Baba