Chorus
Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo
Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyonn{ Tazama Mungu wenu anakuja kuwaokoa,
Naye atawasikizisha ninyi sauti yake katikann/s/ Furaha ya mioyo yenu *2
Furaha ya mioyo yenu, mioyo yenunn/a/ Furaha furaha, furaha ya mioyo
Furaha ya mioyo, mioyo yenun/t/ Furaha, furaha, furaha ya mioyo yenu
Furaha ya mioyo yenun/b/ Furaha, furaha, furaha, furaha
Furaha ya mioyo mioyo yenu } *2
Verse 2
Na waambieni (waambieni) wote jipeni moyo (jipeni moyo),
Mungu wenu anakuja kuwaokoa
Verse 3
Machozi yenu (na kilio), pia ni furaha yenu (hakika),
Kupanda ndio machozi, mavuno furaha
Verse 4
Nyenyekeeni (nyenyekea) wote kiti chake Mungu (cha Mungu),
Mpate uzima ule utokao kwake