Jipeni Moyo

Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyo

Waambieni wenye moyo safi, jipeni moyonn{ Tazama Mungu wenu anakuja kuwaokoa,

Naye atawasikizisha ninyi sauti yake katikann/s/ Furaha ya mioyo yenu *2

Furaha ya mioyo yenu, mioyo yenunn/a/ Furaha furaha, furaha ya mioyo

Furaha ya mioyo, mioyo yenun/t/ Furaha, furaha, furaha ya mioyo yenu

Furaha ya mioyo yenun/b/ Furaha, furaha, furaha, furaha

Furaha ya mioyo mioyo yenu } *2

Verse 2

Na waambieni (waambieni) wote jipeni moyo (jipeni moyo),

Mungu wenu anakuja kuwaokoa

Verse 3

Machozi yenu (na kilio), pia ni furaha yenu (hakika),

Kupanda ndio machozi, mavuno furaha

Verse 4

Nyenyekeeni (nyenyekea) wote kiti chake Mungu (cha Mungu),

Mpate uzima ule utokao kwake