Chorus
Aeeh! Njooni muone - muone
Njooni muone - muone
Njooni muone Jina la Yesu - aeh!n{Linafanya mambo - aa aah!
Linafanya mambo - Jina la Yesu
Lafanya mambo makuu sana} *2
Verse 2
Kwa jina la Yesu pepo wanakimbia
Kwa jina la Yesu wagonjwa wanapona
Kwa jina la Yesu viwete wanatembea
Kwa jina la Yesu vipofu wanaona
Verse 3
Kwa jina la Yesu mabubu wanaongea
Nao viziwi wana wanakusikia
Kwa jina la Yesu waganga wanaokoka
Kwa jina la Yesu dhambi wanazitubu
Verse 4
Kwa jina la Yesu waongo wanaokoka
Kwa jina la Yesu na wezi wanatubu
Kwa jina la Yesu wazinzi wanaokoka
Kwa jina la Yesu Mbinguni wataenda