Chorus
{ Jenga urafiki na Mwokozi Yesu,namana ya Mbingu kurithishwa } * 2n{ Tembea na yeye upendavyo,nsafiri na yeye uwezavyo
Kula na yeye popote pale } * 2
Verse 2
Anza basi leo kuwa na yeye,
Rafiki wa kweli katika Mbingu, usichelewe kuwa na yeye
Verse 3
Ni kinga kamili ukiwa naye,
Kwa taabu zako popote pale, anayajua maisha yako
Verse 4
Kwa magonjwa yako ndiye tabibu,
Ayajua yote magonjwa yako, ongozana naye utapona
Verse 5
Jibu la maisha ukiwa naye,
Anapokuwapo hana mpinzani, jipendekeze unufaike