SectionsEucharistJe Bwana Nastahili

Je Bwana Nastahili

Ordinary Time,Ordinary TimeEucharist
Chorus

Je Bwana nastahili kujongea meza yako?

Je Bwana nastahili kujongea meza yako?

Kwani mimi si mnyofu wa moyo nifanye nini

Bwana ninatamani Nifanye nininnami nijongee meza yako Bwana nipate uzima wa milele

Verse 2

Njooni kwangu nyote, msiogope

Njooni mimi ni uzima wa milele

Verse 3

Njoo mwenye njaa usiogope

Mwili wangu ni chakula cha uzima

Verse 4

Njoo mwenye kiu usiogope

Damu yangu ni kinywaji cha uzima

Verse 5

Njoo mwenye dhambi usiogope

Kwani mimi ni wokovu wa milele