Chorus
Jambo hili ninalitamani kwa moyo wangu wote ,*2
Maana katika msalaba (wake Kristu), mna wokovu *2
Kuujua kuupenda na kuuishi milele yote *2
Verse 2
Maana wewe Bwana ,
Mimi ninakutumainia kama mlinzi wangu
Verse 3
Tawala maisha yangu,
Nitende kwa uaminifu kazi yako wewe Bwana
Verse 4
Niongoze milele,
Niwachunge kondoo wako Bwana wasipotee