Chorus
Bwana jahazi letu, kweli laangamian{Mawimbi yametuzidia jahazi ladidimia} *2
Wale papa na nyangumi wataka watumeze sisi
Verse 2
Jahazi, jahazi we!
Jahazi limejaa mizigo ya dhambi na chuki
Ewe Bwana tuondolee jahazini kwa kweli
Verse 3
Jahazi, jahazi we!
Jahazi lina masengenyano fitina inapatikana we!
Tuondolee jahazini kwa kweli
Verse 4
Jahazi, jahazi we!
Jahazi lako Bwana nataka lenye uzima wa milele
Ni jahazi la neema kwa kweliJA