SectionsExitJahazi Jahazi

Jahazi Jahazi

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary TimeExit
Chorus

Bwana jahazi letu, kweli laangamian{Mawimbi yametuzidia jahazi ladidimia} *2

Wale papa na nyangumi wataka watumeze sisi

Verse 2

Jahazi, jahazi we!

Jahazi limejaa mizigo ya dhambi na chuki

Ewe Bwana tuondolee jahazini kwa kweli

Verse 3

Jahazi, jahazi we!

Jahazi lina masengenyano fitina inapatikana we!

Tuondolee jahazini kwa kweli

Verse 4

Jahazi, jahazi we!

Jahazi lako Bwana nataka lenye uzima wa milele

Ni jahazi la neema kwa kweliJA