SectionsExitIyelele Iyele

Iyelele Iyele

Lent,Ordinary TimeExit
Chorus

{ Iyelele iyele iyele iyele,niyelele iyele iyele iyele } *2

Tazama inavyopendeza,nndugu kuishi pamoja kwa upendo

Huku tukisaidiana, katika shida mbali mbali za maisha

Hilo ndilo pendo kamilifu, pendo alilotuachia Yesu *2

Verse 2

Tuthamini maisha ya wenzetu wanyonge

Tuwatunze yatima wazee na wajane

Verse 3

Msaada na kwa watoto wa mitaani

Msaada kwa wakimbizi wan chi zote

Verse 4

Msaada kwa wote wasio na chakula

Msaada kwa yeyote asiye na nguo