Chorus
{ Iyelele iyele iyele iyele,niyelele iyele iyele iyele } *2
Tazama inavyopendeza,nndugu kuishi pamoja kwa upendo
Huku tukisaidiana, katika shida mbali mbali za maisha
Hilo ndilo pendo kamilifu, pendo alilotuachia Yesu *2
Verse 2
Tuthamini maisha ya wenzetu wanyonge
Tuwatunze yatima wazee na wajane
Verse 3
Msaada na kwa watoto wa mitaani
Msaada kwa wakimbizi wan chi zote
Verse 4
Msaada kwa wote wasio na chakula
Msaada kwa yeyote asiye na nguo