{ Kunapendeza kutazama kwake Bwana
Nyumba yake Bwana inapendeza } *2n{ Inapendeza (kweli) inapendeza (sana)
Inapendeza inafurahisha moyo
Nyumba ya Bwana inapendeza } *2
Kuna furaha kuingia kwake Bwana
Nyumba yake Bwana ina furahan{ Ina furaha (kweli) ina furaha (kubwa)
Ina furaha ni furaha ya Mbinguni
Nyumba ya Bwana ina furaha. } *2n
Kuna baraka kuabudu kwake Bwana
Nyumba yake Bwana ina barakan{ Ina baraka (kweli) ina baraka (nyingi)
Ina baraka inayo baraka tele
Nyumba ya Bwana ina Baraka } *2
Kuna chakula kutulia kwake Bwana
Nyumba yake Bwana ina chakulan{ Ina chakula (kweli) ina chakula (kingi)
Ina chakula ni chakula cha roho zetu
Nyumba ya Bwana ina chakula. } *2
Kuna uzima kusujudu kwake Bwana
Nyumba yake Bwana ina uziman{ Ina uzima (kweli) ina uzima (tele)
Ina uzima ni uzima wa milele
Nyumba ya Bwana ina uzima } *2n