Chorus
Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewe
Tunasikia mambo hayo ya Mungu, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewenn{ Wao ni wa Galilaya, na si ni wa makabila,
Ya kutoka nchi mbalimbali (duniani)
Ina maana gani, linashangaza jambo hilo } *2
Verse 2
Siku ile ya Pentekoste ilipofika,nmitume nao waamini
Walikusanyika pamoja katika nyumba,nwalimokuwa wamekaa
Verse 3
Mara uvumi wa upepo ukasikika,nndimi za moto zikawashukia,
Wakawa wamejazwa na Roho Mtakatifu,nwakisema lugha nyingi