SectionsExitInakuaje Tunasikia

Inakuaje Tunasikia

Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Lent,Ordinary Time,Marian,Christmas,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,PentecostalExit
Chorus

Inakuwaje tunasikia maneno, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewe

Tunasikia mambo hayo ya Mungu, wanayosema,nkwa lugha yetu wenyewen

Chorus

n{ Wao ni wa Galilaya, na si ni wa makabila,

Ya kutoka nchi mbalimbali (duniani)

Ina maana gani, linashangaza jambo hilo } *2

Verse 3

Siku ile ya Pentekoste ilipofika,nmitume nao waamini

Walikusanyika pamoja katika nyumba,nwalimokuwa wamekaa

Verse 4

Mara uvumi wa upepo ukasikika,nndimi za moto zikawashukia,

Wakawa wamejazwa na Roho Mtakatifu,nwakisema lugha nyingi