Chorus
(Ikatetemeka nchi yote makaburi yakafunguka,n(Giza) Giza likafunika nchi ikatetemeka )*2
Na tazama akashuka Bwana,
Mfalme wa Mbingu na dunia,
Mwenye fimbo mkononi mwake,
Ishara yake ni kuchunga kondoon(Chimbuko ni umoja, chimbuko ni upendo
Matunda ni amani, ni amani )*2
Verse 2
Tumshanglie kuhani, Kristu Bwana Mwokozi wetu
Kashinda dhambi na mauti, tuimbe aleluya
Verse 3
Jiwe walilolikataa, waashi limekuwa,
Limekuwa jiwe kuu, tena la pembeni
Verse 4
Ni ushindi kubwa mno, ushindinushindi wa pekee, tuimbe aleluya