I Love You
WeddingThanksgiving
Verse 1
Siku tuliyoingoja mimi na wewe,
Kwa uwezo wake mungu leo imefika,
Chorus
Popote uendapo tutakuwa pamojan{Mungu ametuunganisha mimi nawe,nnasi wawili tena ni mwili mmoja,nwewe ni wangu kwelinna mimi ni wako njoo,
I love you mpenzi wangu
I need you siku zote I love you) *2
Verse 3
Kwa maombezi yake mama yetu maria,
Ahadi yetu sasa kweli imetimia,
Verse 4
Chaguo la moyo wangu mimi nakupenda,
Tulizo la moyo wangu njoo karibu yangu,
Verse 5
Nimekuchagua wewe wangu wa maisha,
Agizo la moyo wangu njo tujitulize,
Verse 6
Mpenzi wangu nakupenda nawe unipende,
Kwa penzi la raha na karaha tupendane,