Chorus
Huu sasa ni wakati wa kutoa yako sadaka
Usisite Mungu wako akuona usifiche
Huu sasa ni wakati wa kutoa yako sadaka
Usisite Mungu wako akuona usifichen
Chorus
{Toa ndugu toa, toa ndugu toa ndugu
Ulicho nacho, mshukuru Mungu wako kwa mema yote} *2
Verse 3
Mtolee shukrani zako Mungu wako
Kwa kutoa zawadi uliyo nayo
Verse 4
Ulivyo navyo amekupa Yeye Bwana
Nawe mpe Bwana kwa shukrani
Verse 5
Nafsi zetu na mali pia vyake Bwana
Haki kuvirudisha kwake Bwana