SectionsEntranceHuruma Bwana

Huruma Bwana

Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,LentEntrance
Chorus

Huruma Bwana, huruma kwa watu wako

Uliowakomboa kwa damu yako takatifu *2

Verse 2

Ee Mungu unirehemu,

Sawa sawa na fadhili zako.

Verse 3

Kiasi cha wingi wa rehema zako,

Uyafute makosa yangu.

Verse 4

Unioshe kabisa na uovu wangu,

Unitakase dhambi zangu.

Verse 5

Ee Mungu uniumbie moyo safi,

Uifanye upya roho uliyotulia ndani yangu.

Verse 6

Usinitenge na uso wako,

Wala Roho wako Mtakatifu usiniondolee.