Hubirini Neno Lake
Ordinary TimeBible Procession
Chorus
Hubirini neno lake Mungu kwa mataifa yote
Tangazeni ukuu wa Mungu kwa viumbe vyoten{ Kwa kuwa Bwana - ni mwema
Ni mwema rehema zake hudumu,
Vizazi hata vizazi, vizazi kwa wamchao } *2
Verse 2
Mpigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki,
Kusifu kwawapasa, wanyofu wa moyo
Verse 3
Semeni kwa shangwe, Bwana amelikomboa taifa lake`,
Bwana amelikomboa taifa lake